- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Huwa najiuliza haya majina mengine yalitokea wapi? Mfano Bodaboda nadhani lilitokea nchi kama Uganda kuwakilisha vyombo vya usafiri wa Pikipiki.
Sasa enzi zetu kulikuwa na Pikipiki-baiskeli maarufu kwa jina la Batavuzi.
Je nini asili ya jina hili?
Sasa enzi zetu kulikuwa na Pikipiki-baiskeli maarufu kwa jina la Batavuzi.
Je nini asili ya jina hili?