Hivi Kutumia Kahawa Kwa wingi kuna Madhara yeyote?

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Jamani eeh, mi nimekuwa nikisikia Maneno maneno kwamba ukitumia kahawa kwa sana unapata matatizo ya Moyo,, na mimi bila Kahawa Asubuhi bado hujaniambia yaani kila siku,, nanatumia Strong Cofee,, sasa naomba ushauri ili kama inamadhara nianze mazoezi sasa hivi ya kuacha


 
 
Back
Top Bottom