- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Nini tunajifunza kutokana na kinachoendelea kwenye baadhi ya nchi za kiarabu hasa, Libya, Misri nk. Kabla ya mabadiliko ya tawala zao eg. Gadafi na kinachoendelea baada ya hayo mabadiliko...
Is the change we are seing for better?
Is the change we are seing for better?