- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Tunaipongeza kampuni ya Azam Marine kwa kuleta boti mpya na ya kisasa Kilimanjaro V. Hongera sana Azam Marine kwa kuboresha usafiri wa majini Tanzania. Tunaomba muanzishe na kampuni ya mabasi ya kisasa. Mungu azidi kuwabariki.