- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Habari wanajamvi,
Kwanini waotokea mikoa ya Arusha, Njombe, Iringa, Kilimanjaro wanakuwa fiti kifedha na kibiashara hata kama ni vijana wa umri mdogo?
Natumai nitapata majibu ya kuridhisha.
Kwanini waotokea mikoa ya Arusha, Njombe, Iringa, Kilimanjaro wanakuwa fiti kifedha na kibiashara hata kama ni vijana wa umri mdogo?
Natumai nitapata majibu ya kuridhisha.