Car Tracking System- Who is behind this?

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wakuu,

Nimetazama habari ITV, mabasi yote yaendayo mikoani kutokea Ubungo yanatakiwa yawe yamejiunga na CAR TRACKING SYSTEM hadi ifikapo 15.03.2011.

Je wakuu, hii CTS ina umuhimu upi kwa mabasi makubwa?


Na je itadumu kwa muda gani, ukilinganisha na amri zilizopita kama speed governer na mikanda ya usalama kwa abiria?


Je, si mradi wa mtu huu na mwendelezo wa ufisadi?


 
 
Back
Top Bottom