- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Kifushi cha 100000, 80000 na 60000 kwa Watanzania Wa leo ni ghali sana kwao kununua majumbani mwao. Iko siku soko la Tanzania litawawia gumu. Wengi wanaonunua dstv ni kwa ajili ya EPL basi ambayo lazima wawe na kifurushi kisichopungua sh.80000+