First Lady anapoingia Ikulu ni kuwa anaacha kazi kama ni mwajiriwa?

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Tuna bahati kubwa sana ya kupata ma First Lady kutoka taaluma ya ualimu. Kutoka mama Maria Nyerere, mama Salma Kikwete na sasa mama Janet Magufuli.


Wanapoingia Ikulu ni wazi kuwa wanakuwa na majukumu mapya. Sasa zile ajira zao huwa wanachukua early retirement?


 
 
Back
Top Bottom