Gari nimenunua Afrika Kusini Milioni 4, kodi Tanzania Milioni 18!

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!


Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!


Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!


Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!


Hapa kazi tuu


 
 
Back
Top Bottom