- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Iwe na vyumba vitatu vya kulala na kimoja wapo kiwe ni masterbedroom, jiko + stoo, living & dinning room na choo/bafu la public.
Naomba msaada wa kuchanganua gharama ya kuijenga nyumba kama hii...
Angalizo: kiwanja ninacho
Naomba msaada wa kuchanganua gharama ya kuijenga nyumba kama hii...
Angalizo: kiwanja ninacho