Gharama ya kujenga huu mjengo

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Iwe na vyumba vitatu vya kulala na kimoja wapo kiwe ni masterbedroom, jiko + stoo, living & dinning room na choo/bafu la public.


Naomba msaada wa kuchanganua gharama ya kuijenga nyumba kama hii...


Angalizo: kiwanja ninacho


 
 
Back
Top Bottom