- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wadau naomba msaada wenu kidogo kwenye hii biashara ya malori ya kubeba mchanga na kokoto, hesabu kwa siku kwa lorry la tonne 7, 18 na 32 ni kiasi gani? Katika hayo yapi yana demand sana?
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani