- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Mambo vipi wadau,
Mimi kijana nafanya kazi sehemu moja ila mshahara wangu mdogo ila unagawanyika sana naona kabisa mshahara haujitoshelezi. Nimeandika huu uzi kwa wale wajanja mjini tupeane basi code nasi tufanye hizo harakati tutoboe wote maisha kiukweli hela ya kutegemea mshahara ni mateso sana.
Kama una mchongo mzuri tuambieni ila siyo wale business networking huko pasua kichwa maana kuna ndugu yangu alishawahi kufanya mwishoni kaishia kuacha tu na kawa maskini.
Tusaidieni na mimi nimiliki nyumba na magari.
Mimi kijana nafanya kazi sehemu moja ila mshahara wangu mdogo ila unagawanyika sana naona kabisa mshahara haujitoshelezi. Nimeandika huu uzi kwa wale wajanja mjini tupeane basi code nasi tufanye hizo harakati tutoboe wote maisha kiukweli hela ya kutegemea mshahara ni mateso sana.
Kama una mchongo mzuri tuambieni ila siyo wale business networking huko pasua kichwa maana kuna ndugu yangu alishawahi kufanya mwishoni kaishia kuacha tu na kawa maskini.
Tusaidieni na mimi nimiliki nyumba na magari.