Maalim Seif: The New Mzee wa Mikasi

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
This is hilarious, kwanza Shein Mzee wa Mikasi orijino (Dr. Omar Juma hakukata tepe sana kama Mzee Orijino) anapewa Urais wa Zanzibar, kisha anamteua kutokana na muafaka Maalim Sefu kuwa mrithi wa Mikasi.


I wouild have thought power sharing would have meant for Sefu kuwa Waziri Kiongozi na hivyo kuongoza Serikali na hasa Baraza la Wawakilishi.


Lakini kaukubali Mkasi na tepe zitamkoma!


 
 
Back
Top Bottom