Mkataba wa Umeme 600 MW Tayari

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Serikali Ya JMT chini ya Uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, imeshatiliana saini na Mwekezaji wa kuweka mitambo ya kufuwa umeme wa kutumia makaa ya mawe usiopunguwa Megawati 600.


Zaidi ya hayo ni kuchimba na kuzalisha Chuma, kwa hili Tanzania inakuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki.


Ahsante Jakaya, action speaks louder than words.


 
 
Back
Top Bottom