Msaada wanaoenda China

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Naomba kuonyeshwa ramani, mie nafanya biashara ya duka la vipodozi Tanzania na Msumbij, nimeamua kufungua duka la vifaa vya simu kwa jumla Msumbiji. Mfano kava, chaji za simu na laptop kwa ufupi vifaa mbalimbali vya simu, nilitaka wenye uzoefu wa kwenda China au Dubai niwasiliane nae aniambie jinsi ya kufanya yaani taratibu, passport ninayo na kule China maduka yako vipi, nitashukuru sana mwenye uelewa anaweza kumwaga hapa au aniPM ili tuwasiliane.


 
 
Back
Top Bottom