- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
JK na mmiliki wa hoteli ya kitalii ya Bilila Lodge Kempinski Bw. Ali Al Bwardy wakifungua kitambaa kuashiria kuzinduliwa kwa hotelui hiyo leo asubuhi. Hoteli hiyo ya nyota tano ina vyumba 80. Chini wakipeana mikono baada ya uzinduzi rasmi
JK akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANAPA Modestus Lilungulu(kulia) wakati wa sherehe za ufunguzi wa Hoteli mpya yenye hadhi ya kimataifa ya Bilila Lodge Kempinski katika mbuga ya wanyama ya Serengeti leo asubuhi. Katikati ni mmiliki wa Hoteli hiyo Bw. Ali Al Bwardy
Sehemu ya umati uliohudhuria sherehe hizo leo asubuhi
JK akiongea wakati wa ufunguzi wa hoteli hiyo
Mandhari ya hoteli mpya ya kitalii ya Bilila Lodge Kempinski iliyofunguliwa na JK katika mbuga ya Serengeti leo asubuhi.
Mmemuona bwan BARWADY?
JK akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANAPA Modestus Lilungulu(kulia) wakati wa sherehe za ufunguzi wa Hoteli mpya yenye hadhi ya kimataifa ya Bilila Lodge Kempinski katika mbuga ya wanyama ya Serengeti leo asubuhi. Katikati ni mmiliki wa Hoteli hiyo Bw. Ali Al Bwardy
Sehemu ya umati uliohudhuria sherehe hizo leo asubuhi
JK akiongea wakati wa ufunguzi wa hoteli hiyo
Mandhari ya hoteli mpya ya kitalii ya Bilila Lodge Kempinski iliyofunguliwa na JK katika mbuga ya Serengeti leo asubuhi.
Mmemuona bwan BARWADY?