TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wakuu,


Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:


Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.


Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).


Nisisitize, KUWENI MAKINI NA MATAPELI!


 

Original publication date: 2026-09-05
 
Back
Top Bottom