Bei ya toyo (bajaji ya miguu mitatu) ya kubebea mizigo

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Habari wakuu, natafuta bajaji ya kubebea mizigo maarufu kama toyo, hivi dukani bei ni shilingi ngapi kwa sasa.

Note: maduka ya kuaminika maana kuna jamaa huwa wanaziagiza kwa exemption then wanaziuza, matokeo yake kubadili jina inakuwa mziki.

Asanteni wakuu.


 
 
Back
Top Bottom