- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wadau,
Naombeni idea zenu kuhusu biashara gani naweza kufanya kati ya Zanzibar na Bara (ikiwezekana Dar).
Na pia kuhusiana na masuala ya kodi.
Mtaji ni kama 10m.
Shukran.
Naombeni idea zenu kuhusu biashara gani naweza kufanya kati ya Zanzibar na Bara (ikiwezekana Dar).
Na pia kuhusiana na masuala ya kodi.
Mtaji ni kama 10m.
Shukran.