Biashara ya spare za magari Dar es Salaam

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Habari za jioni wadau,


Baada ya kufanya kazi kwa muda mreu na kutafuta mtaji wa biashara, Nimeamua kujiajiri na nimeazimia kufungua biashara ya spare za magari.


Naomba kujua kwa wenye uzoefu na hii biashara mtaji wa 15, 000, 000 Tanzania shilingi unaweza kuanzia na je nikitaka kuchukua mzigo kwa jumla niende wapi kwa hapa Tanzania au kuagiza nje ya nchi ni nch gani.


Naomba kuwasilisha


 
 
Back
Top Bottom