Biashara yenye pesa nyingi huwezi ikuta ikipambanuliwa mitandaoni hata siku1

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Yaani ukiona biashara flani inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hiyo.


Hata kama ina hela bas ni vijihela


We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...


Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko


Uzi tayar


 
 
Back
Top Bottom