- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Nina uhakika mengi yamesemwa kuhusu hili, lakini mbona sioni mabadiliko jamani?? Yaani unakuta movie inaenda taratiiiiiiibu... Kitu kinachukua saa moja na nusu-content is poor! Halafu naambiwa watchout for part 2!!! Wats there to wait for??
Watengenezaji/anayehusika wafanye kitu sasa-mabadiliko. Tunatamani kuokoa sanaa lakini hambebeki! Ebo!!!
Na mshukuru mabasi ya mikoani yanayoonyesha hizo muvi..
Watengenezaji/anayehusika wafanye kitu sasa-mabadiliko. Tunatamani kuokoa sanaa lakini hambebeki! Ebo!!!
Na mshukuru mabasi ya mikoani yanayoonyesha hizo muvi..