Gharama za uchapaji wa vitabu!!

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wanajf. Nahitaji kuchapa kitabu cha somo mojawapo la ADVANCED LEVEL ila sina mtaji hata kianzio.

Napokea partnership kwa yeyote atakayekubali tuzalishe pamoja.

Vitu ninavyohitaji ni kamera, uwezeshwaj wa mawasiliano, gharama ya typing and printing, na kusajili wizarani ili kupata ISBN. Yeyote aliyetayari tusaidiane kuendeleza elimu yetu tuwasiliane.

Please text me through 0654 047387


 
 
Back
Top Bottom