- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wakuu mi naomba kujuzwa maana nilishitukiwa tu kuona kwenye tv ufunguzi wa mauzo ya hisa pale DSE.
Utaratibu wa kununua hisa ukoje kwa tuliochelewa?
Asante.
Utaratibu wa kununua hisa ukoje kwa tuliochelewa?
Asante.