Ipi inalipa kati ya Reustarant na M Pesa?

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wadau,


Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja viwili kila kiduka kichukue milioni nne.


Ushauri wenu tafadhali


 
 
Back
Top Bottom