Jamani nisaidieni maana ishakuwa hatari!

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wadau naombeni mwenye kujua dawa mbadala maana koo linaniwasha yapata wiki 2 bila kutulia japokuwa sijawahi kutumia dawa yyt ile afu natema makohozi kama nabanja wakati sibanji! Sa cjui ni nini natanguliza shukurani zangu kwa wadau wote


 
 
Back
Top Bottom