Kila nikidai tendo la ndoa kwa mke wangu anadai anaumia

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wakuu habari zenu, nina miezi 2 toka nioe.


Cha ajabu mke wangu kila ifikapo tendo la ndoa anadai anaumia na hata tukisex anataka bao 1 tu nikiongeza la pili anaumia tena sana.


MSAADA WAKUU MAANA SIELEWI.. Na ana ujauzito wangu wa miezi 5 sasa.


 
 
Back
Top Bottom