- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wakuu habari zenu, nina miezi 2 toka nioe.
Cha ajabu mke wangu kila ifikapo tendo la ndoa anadai anaumia na hata tukisex anataka bao 1 tu nikiongeza la pili anaumia tena sana.
MSAADA WAKUU MAANA SIELEWI.. Na ana ujauzito wangu wa miezi 5 sasa.
Cha ajabu mke wangu kila ifikapo tendo la ndoa anadai anaumia na hata tukisex anataka bao 1 tu nikiongeza la pili anaumia tena sana.
MSAADA WAKUU MAANA SIELEWI.. Na ana ujauzito wangu wa miezi 5 sasa.