Kupanda kwa thamani ya Tsh. Dhidi ya Us. Dola kunaashiria nini? (kutoka 1800---1584 within a month)

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Nakumbuka shilingi ya Tanzania ilishuka nakufikia thamani ya 1800 kwa dola moja ya Us na sasa imepanda na imefikia 1584 leo. Hii inaashiria nini? Kipindi ikishuka thamani kila siku zilikuwa zinakuja threads mpya kuripoti hilo lakini mbona sasa wale maripota wetu hatuwaoni? Tunawashauri pia wendelee kuripori kama walivyokuwa wakifanya hapo awali.

Na mwishi kabisa ambalo ndo lengo la thread hii, ni kuwa inaashiria nini? Wataalamu wa uchumi hebu tusaidieni sisi wauza machungwa huku mtaani.


 
 
Back
Top Bottom