- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Nimenunua mabati ya kiboko G28 lakini wakati wa kuezeka fundi akanieleza kuwa hayakai kwenye usawa kama ailvyozoea.
Nilipoyapima nikapata vipimo vifuatavyo
Upana: sehemu ya chini ni cm 82 na sehemu ya juu ni cm 86
Diagnal: moja ni cm 310 na nyingine ni cm 312
Kwa mshangao mkubwa mabati haya yana nembo ya TBS.
Je nifanyeje? TBS mnakagua kiwanda hiki?
Nilipoyapima nikapata vipimo vifuatavyo
Upana: sehemu ya chini ni cm 82 na sehemu ya juu ni cm 86
Diagnal: moja ni cm 310 na nyingine ni cm 312
Kwa mshangao mkubwa mabati haya yana nembo ya TBS.
Je nifanyeje? TBS mnakagua kiwanda hiki?