- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Habar wana jf mm ninataka niwe wakala wa mpesa, airtel money, tigo pesa na Luku lakini sijuwi gharama za hivi vitu tafadhali kwa anaejuwa naomba anielekeze Mpesa gharama yake shilling ngapi, airtell money shilling ngapi gharama zaka, tigo pesa gharama zake kiasi gani na Luku gharama zake ni kiasi gani tafadhali naombeni mnisaidie jaman kwa anayefahamu
Thanx in advance
Thanx in advance