Naomba mwenye uzoefu na vifaa vya saluni ya kiume

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Nina wazo la kufungua saluni ya kiume, lakini sijui mashine ya kunyoa ni bei gani, kiti na kioo, kuhusu redio nitanunua sabufa, naombeni mawazo ndugu zangu na bado kijana atakaye kuwa kinyozi huwa analipwaje?[emoji120] sharing is caring sitaki kukurupuka.


 
 
Back
Top Bottom