Naomba ushauri juu ya biashara ya Uber, Bolt

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Guys natamani sana kuifanya hii biashara ya Tax kwa njia ya mtandao kama vile kupitia Uber na Bolt lakini sijui ijui sana bishara hii, mwenye kufahamu lolote kuihusu hii biashara anipe info’s kidogo. Ninachotaka kukifanya ni kuchukua gari ya mtu na kuifanyia hiyo kazi kwa hesabu au mkataba. Naomba kufahamu yafuatayo;-


[emoji117]Je inalipa?


[emoji117]Ina changamoto gani na gani?


[emoji117]Kwa siku mtu anatakiwa apeleke hesabu kiasi gani?


[emoji117]Kama gari umechukua ya mkataba mara nyingi inachukua kiasi gani per day na inakuwa ni kwa muda gani hadi iwe yako?


[emoji117]Muda mzuri wa kufanya biashara ni upi na upi?


[emoji117]Ni wapi gari inaweza kupatikana kwa urahisi?


[emoji117]Ni gari gani nzuri kwa ajili ya biashara hii?


[emoji117]Nijiandae na mambo gani strange kwenye hii biashara?


[emoji117]Chochote ambacho sijakiandika hapa lakini unaweza kunishauri?


[emoji117]Link ya uzi wowote kuhusiana na hii biashara kama umewahi kupostiwa humu ila uwe recently


NB: Napokea maoni yoyote yawe positive au negative, Japokuwa watu wenye uzoefu wa muda mrefu itakuwa njema sana kama wakisema chochote kitu kuihusu hii biashara.


Natanguliza Shukarani WanaJF [emoji120]


Zaidi soma:

  • Wenye uzoefu na udereva wa Uber na Bolt, naomba kujua faida, hasara na changamoto zake
  • Changamoto za madereva na abiria wa Uber na Bolt. Tupia yako


 
 
Back
Top Bottom