Naomba ushauri wa fursa za biashara zinazopatikana Kahama

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Habarini wana JF, nitangulize shukrani za dhati kwenu wote.


Nahitaji kuanza maisha yangu mjini Kahama. Natambua kuna wazoefu na wenyeji wanaoijua vizuri. Nina mtaji mdogo tu wa milioni moja.


Je, kitu gani naweza fanya hapo kwa huo mtaji hata kama ni kidogo japo nipate cha kufanya kuliko kusubiri hizi ajira na kuondokana na hii tabia ya vijana tulio wengi kukaa tu nyumbani kusubiri ajira na kuvizia chakula cha wazee.


Naomba kuwasilisha.


 
 
Back
Top Bottom