- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Camarades...., Kwa manufaa yangu na ya wengine yoyote aliyeshawahi kufanya hii biashara naomba dondoo za yafuatayo:-
Natanguliza Shukrani;
Majibu ya Mdau Kwa Manufaa ya Wengine...
- Bei ya kawaida ya kununua vinywaji Beer na ya kuuzia (ya chini kwenye bars/glossary) hence faida ya kwenye kila chupa.
- Je ni kawaida beer zote zina faida sawa au kuna brand ina faida zaidi ya nyingine
- Spirits Konyagi Grants et al na Wines Faida zake zipo vipi.
- Leseni ya Biashara kwa mwaka malipo yake
- Kama kuna vijikodi vilivyojificha
Natanguliza Shukrani;
Majibu ya Mdau Kwa Manufaa ya Wengine...