Tanzania tunahitaji noti za sh 100, 000/=

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wadau kutokana na huu mfumuko wa bei na kushuka ''purchasing power'' nafikiri

Tunahitaji noti za sh 100, 000 zichapishwe kuondoa mzigo wa minoti. Sijui itakuwa na

Implication gani kwenye uchumi, waliobobea kwenye hayo maswala naomba mtudadavulie!


Nawasilisha na pia nawatakia mwaka ujao wenye mafanikio tele.


 
 
Back
Top Bottom