- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wadau kutokana na huu mfumuko wa bei na kushuka ''purchasing power'' nafikiri
Tunahitaji noti za sh 100, 000 zichapishwe kuondoa mzigo wa minoti. Sijui itakuwa na
Implication gani kwenye uchumi, waliobobea kwenye hayo maswala naomba mtudadavulie!
Nawasilisha na pia nawatakia mwaka ujao wenye mafanikio tele.
Tunahitaji noti za sh 100, 000 zichapishwe kuondoa mzigo wa minoti. Sijui itakuwa na
Implication gani kwenye uchumi, waliobobea kwenye hayo maswala naomba mtudadavulie!
Nawasilisha na pia nawatakia mwaka ujao wenye mafanikio tele.