TIC, TAN-TRADE, EPZA, TTB & BRELA: Mrundikano wa Taasisi zinazofanya kazi zinazofanana

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Nimekaa nikafikiri hapa TZ tuna taasisi nyingi za Serikali kuanzia

1. Tanzania Investment Centre (TIC) vs EPZA vs BRELA,

2. Tanzania Tourist Board (TTB) Vs TANTRADE,

3. Tanzania Employment Services Agency (TaESA) vs Public Service Recruitment Secretariat


Nyingi ya hizi taasisi zinafanya kazi almost sawa na sioni logic ya kuwa nazo zote. Ningependekeza zipunguzwe katika kubana matumizi na kuongeza ufanisi. Vinginevyo kuifanya Tanzania Middle Income country by 2025 itakuwa ni ndoto.


 
 
Back
Top Bottom