- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Naomba kuanza kwa kuweka bei za mazao mbalimbali kwa mkoa wa Iringa kwa mwezi February.
1. Mchele super Tsh2000-2200/ kg
2. Mahindi Gunia Tsh 70, 000
3. Maharage ya njano Tsh2000/kg
4. Vitunguu Tsh 210, 000 kwa gunia la debe 8
5. Nyanya kwa tenga Tsh 20, 000.
1. Mchele super Tsh2000-2200/ kg
2. Mahindi Gunia Tsh 70, 000
3. Maharage ya njano Tsh2000/kg
4. Vitunguu Tsh 210, 000 kwa gunia la debe 8
5. Nyanya kwa tenga Tsh 20, 000.