Uzi wa kupeana Updates ya bei za mazao

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Naomba kuanza kwa kuweka bei za mazao mbalimbali kwa mkoa wa Iringa kwa mwezi February.


1. Mchele super Tsh2000-2200/ kg

2. Mahindi Gunia Tsh 70, 000

3. Maharage ya njano Tsh2000/kg

4. Vitunguu Tsh 210, 000 kwa gunia la debe 8

5. Nyanya kwa tenga Tsh 20, 000.


 
 
Back
Top Bottom