Biashara mpya Dar

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Habari zenu natafuta biashara mpya nifanyie Dar es Salaam, biashara hakufanyikiwa bado nani anawazo nzuri anisaidie

Tuseme mfono nilete kitu gani kutoka Dubai au china au india halafu niwe agent yao hata kama hela ya msingi itafika milioni mia


 
 
Back
Top Bottom