Harmonize amemkubali mtoto wake

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Katika Maisha Ukisema ukatae Mtoto Ni kama Vile Laana utaona Mambo yako hayafanikiwi kumbe wewe ndo unamakosaa!!

Naomba Msamaha sana kwa Mchumba wangu #SARAH_TZ Kiukwelii sikujua why nimekukosea kiasi hiki lakini Naamini umenielewa na utanisamehe maana siwezi kataa damu yangu na kwa jitihada zangu zote zimetumika mpaka nikampata naomba pia hata mama wa mtoto anaisamehe sana maana tulizaa naye ndiyo lakini naona mpaka Aibu sana sana ni mali yangu


 
 
Back
Top Bottom