Hongera dominic mosha kwa kuachana na ukapera; mungu mkubwa kweli

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Hakika aliesema hakuna mungu na alaaniwe milele

Nimefurahishwa kuona mate wangu pale chuo kikuu bw dominic mosha akikubali kula ndafu na mke wake wa maisha

Si kwamba alikuwa nanii kihivyo hapana; ndugu yangu alikuwa mwaminifu sana lakini kila akiadhibiwa akusita kusema sitaki kabisa kusikia ndoa hawa watu wa baba mmoja na mama moja akili zao moja; akika ametuhakikishia si hivyo na waume zao wamoja

Means uliengia na unaesubiri ipo siku utazama kwenye ndoano

Mama mtunze kijana; anzeni maisha kwa kumjua mungu. Matatizo yenu hayatatuliiwi na baba dom wala mama dom wala wakwe zako ni nyie wenyewe; moto utakaokutana nao mwambie mungu apigane nao... Nawaombe uwe na amani na kusiweko na kutoeleewana

Narudia tena msikimbilie shida zaenu kwa marafiki... Wala wasiokuwa na ndoa...


Happenew yr/ote hsppy bday/waingakyi inu/mbutana/happy valentine/ngasuko ulalu/happy morning/chaa/ ngikundiamba

Lee


"mwaka mpya mwema"


Ulakucha wose


 
 
Back
Top Bottom