- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wakuu, miaka 6 hadi 5 familia yangu enzi za uhai wa mzazi wetu tulikuwa na biashara Mkoani Mtwara, mtaji ulikuwa annual turnover around 0.78 billion. Baadaye tuligawagana mirathi na kila mmoja anawaza biashara zake.
Binafsi ninapenda kuwekeza kwenye kilimo cha miti ya mbao maeneo haya;
1. Buchosa, Mkoani Mwanza
2. Njombe, Mkoani Njombe
Ninaomba mzoefu wa kilimo hiki na jinsi itakavyonilipa ndani ya 15 to 20 years
Binafsi ninapenda kuwekeza kwenye kilimo cha miti ya mbao maeneo haya;
1. Buchosa, Mkoani Mwanza
2. Njombe, Mkoani Njombe
Ninaomba mzoefu wa kilimo hiki na jinsi itakavyonilipa ndani ya 15 to 20 years