Msaada: Nataka kuanza biashara ya miti ya mbao na Mrunda Njombe na Buchosa (Mwanza)

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wakuu, miaka 6 hadi 5 familia yangu enzi za uhai wa mzazi wetu tulikuwa na biashara Mkoani Mtwara, mtaji ulikuwa annual turnover around 0.78 billion. Baadaye tuligawagana mirathi na kila mmoja anawaza biashara zake.


Binafsi ninapenda kuwekeza kwenye kilimo cha miti ya mbao maeneo haya;


1. Buchosa, Mkoani Mwanza

2. Njombe, Mkoani Njombe


Ninaomba mzoefu wa kilimo hiki na jinsi itakavyonilipa ndani ya 15 to 20 years


 
 
Back
Top Bottom