Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Good evening wadau,


Naombeni mawazo yenu na experience ni biashara gani au investment ambayo nitaweza kufanya Kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20.


Napendelea ile biashara ambayo ni stress free, na ambayo inaweza kusimama vizuri bila direct involvement kwenye biashara.


 
 
Back
Top Bottom