Nina hamu sana ya kubeba mimba

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Mim ni msichana na miaka 25. Tatizo langu ni kwamba cpati ujauzito. Nshaenda hosp kwa dk msuya arusha nnikafanyiwa vipimo na dawa nikapewa nikameza lakini sipati mimba. Tatizo nilonalo alosema doctor ni kwamba mayai hayana nguvu. Baadhi ya dawa nilizopewa ni pamoja na clomitab. Nisaidien kwa ushaur what should I do?


 
 
Back
Top Bottom