Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Habari za asubuhi wadau.


Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.


Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?


 
 
Back
Top Bottom