- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Waheshimiwa wana JF.
Wengi wanasema wanashidwa kuanzisha biashara kwa sababu hawana mitaji lakini mimi ni kinyume chake nina mtaji wa tsh 3, 00, 000/=, mimi ni mwalimu naomba msaada wa mawazo ya biashara ambayo naweza kuifanya himo-moshi.
Biashara iwe ile ambayo angalau kwa siku lazima nipate wateja.
Asante wadau.
Wengi wanasema wanashidwa kuanzisha biashara kwa sababu hawana mitaji lakini mimi ni kinyume chake nina mtaji wa tsh 3, 00, 000/=, mimi ni mwalimu naomba msaada wa mawazo ya biashara ambayo naweza kuifanya himo-moshi.
Biashara iwe ile ambayo angalau kwa siku lazima nipate wateja.
Asante wadau.