Faida za kufungua kampuni

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Imani iwe kwenu wana Jamvi.


Kama heading ilivo naomba kujuzwa faida ama hasara za kuendesha biashara kama kampuni maana nimefuatilia nimeona kuna utitiri wa kodi/gharama na uendeshaji kampuni. Mfano TRA TFDA TBS NEMC n. K kulingana na biashara unayoifanya.


Kila sehemu utakayo pita kuna gharama zake na ni za kila mwaka kubwa zaida ni 30% corporate tax ata the end of year.


Swali la msingi kulingana na gharama za uendeshaji kampuni. Je kati ya kampuni na retail sales kwa wafanyabiashara wadogo ni ipi inalipa zaidi


Nawasilisha


Thanks in advance


 
 
Back
Top Bottom