- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Habari zenu wanajamvi la biashara,
Naomba msaada wenu kwa kunielewesha ni sababu zipi zinazochangia kushuka kwa shilingi yetu na dollar kuwa juu sana kiasi kwamba mzunguko wa biashara umekuwa ni mgumu sana kutokana na kushuka kwa shiling yetu.
Naomba msaada wenu kwa kunielewesha ni sababu zipi zinazochangia kushuka kwa shilingi yetu na dollar kuwa juu sana kiasi kwamba mzunguko wa biashara umekuwa ni mgumu sana kutokana na kushuka kwa shiling yetu.