Ni sababu gani zinazochangia kushuka kwa Shilingi yetu na Dola kuwa juu?

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Habari zenu wanajamvi la biashara,


Naomba msaada wenu kwa kunielewesha ni sababu zipi zinazochangia kushuka kwa shilingi yetu na dollar kuwa juu sana kiasi kwamba mzunguko wa biashara umekuwa ni mgumu sana kutokana na kushuka kwa shiling yetu.


 
 
Back
Top Bottom