Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Mara nyingi nayaona yakiwa barabarani yakiwa either yanaenda au yanarudi toka nje ya nchi.


Ningependa kujua yafuatayo;


1. How profitable is it?


2. Kupeleka mzigo nje ya nchi mf Congo kampuni inalipwa kiasi gani?


3. Hadi uweze kuruhusiwa kuifanya hiyo biashara unatakiwa uwe na nini hasa?


4. Wateja wanapatikanaje?


Nimekuwa natafuta hizi taarifa kupitia kwa watu wengi ila nagonga mwamba kwasabbau wenye taarifa ni wachache na mbaya zaidi hawafikiki.


Ningefurahi kama kungekuwa na mtu anisaidie.


 
 
Back
Top Bottom